Zab. 31:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Nimekukimbilia Wewe, BWANA,Nisiaibike milele.Kwa haki yako uniponye,

2. Unitegee sikio lako, uniokoe hima.Uwe kwangu mwamba wa nguvu,Nyumba yenye maboma ya kuniokoa.

3. Ndiwe genge langu na ngome yangu;Kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunge.

Zab. 31