Zab. 31:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Nimekukimbilia Wewe, BWANA,Nisiaibike milele.Kwa haki yako uniponye,

2. Unitegee sikio lako, uniokoe hima.Uwe kwangu mwamba wa nguvu,Nyumba yenye maboma ya kuniokoa.

Zab. 31