Zab. 28:7-8 Swahili Union Version (SUV)

7. BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu.Moyo wangu umemtumaini,Nami nimesaidiwa;Basi, moyo wangu unashangilia,Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.

8. BWANA ni nguvu za watu wake,Naye ni ngome ya wokovu kwa masihi wake.

Zab. 28