Zab. 26:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. BWANA, nimependa makao ya nyumba yako,Na mahali pa maskani ya utukufu wako.

9. Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji,Wala uhai wangu pamoja na watu wa damu.

10. Mikononi mwao mna madhara,Na mkono wao wa kuume umejaa rushwa.

11. Ila mimi nitakwenda kwa ukamilifu wangu;Unikomboe, unifanyie fadhili.

Zab. 26