Zab. 19:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu,Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.

2. Mchana husemezana na mchana,Usiku hutolea usiku maarifa.

3. Hakuna lugha wala maneno,Sauti yao haisikilikani.

Zab. 19