Zab. 17:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, usikie haki, ukisikilize kilio changu,Utege sikio lako kwa maombi yangu,Yasiyotoka katika midomo ya hila.

2. Hukumu yangu na itoke kwako,Macho yako na yatazame mambo ya adili.

Zab. 17