2. Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu;Sina wema ila utokao kwako.
3. Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora,Hao ndio niliopendezwa nao.
4. Huzuni zao zitaongezekaWambadilio Mungu kwa mwingine;Sitazimimina sadaka zao za damu,Wala kuyataja majina yao midomoni mwangu.