Zab. 16:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Mungu, unihifadhi mimi,Kwa maana nakukimbilia Wewe.

2. Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu;Sina wema ila utokao kwako.

3. Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora,Hao ndio niliopendezwa nao.

4. Huzuni zao zitaongezekaWambadilio Mungu kwa mwingine;Sitazimimina sadaka zao za damu,Wala kuyataja majina yao midomoni mwangu.

Zab. 16