Zab. 148:2-5 Swahili Union Version (SUV)

2. Msifuni, enyi malaika wake wote;Msifuni, majeshi yake yote.

3. Msifuni, jua na mwezi;Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

4. Msifuni, enyi mbingu za mbingu,Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

5. Na vilisifu jina la BWANA,Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.

Zab. 148