Zab. 148:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Msifuni BWANA kutoka mbinguni;Msifuni katika mahali palipo juu.

2. Msifuni, enyi malaika wake wote;Msifuni, majeshi yake yote.

3. Msifuni, jua na mwezi;Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

4. Msifuni, enyi mbingu za mbingu,Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

Zab. 148