Zab. 146:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.

2. Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.

3. Msiwatumainie wakuu,Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.

Zab. 146