7. Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea;Usinifiche uso wako,Nisifanane nao washukao shimoni
8. Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi,Kwa maana nimekutumaini Wewe.Unijulishe njia nitakayoiendea,Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
9. Ee BWANA, uniponye na adui zangu;Nimekukimbilia Wewe, unifiche.
10. Unifundishe kuyatenda mapenzi yako,Kwa maana ndiwe Mungu wangu;Roho yako mwema aniongoze kwenye nchi sawa,
11. Ee BWANA, unihuishe kwa ajili ya jina lako,Kwa haki yako unitoe roho yangu taabuni;