Zab. 141:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, nimekuita, unijie hima,Uisikie sauti yangu nikuitapo.

2. Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba,Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.

3. Ee BWANA, uweke mlinzi kinywani pangu,Mngojezi mlangoni pa midomo yangu.

Zab. 141