Zab. 140:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Nimemwambia BWANA, Ndiwe Mungu wangu;Ee BWANA, uisikie sauti ya dua zangu.

7. Ee MUNGU Bwana, nguvu za wokovu wangu,Umenifunika kichwa changu siku ya vita.

8. Ee BWANA, usimpe asiye haki tamaa zake,Usiifanikishe hila yake, wasije wakajiinua.

Zab. 140