Zab. 140:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, uniokoe na mtu mbaya,Unihifadhi na mtu wa jeuri.

2. Waliowaza mabaya mioyoni mwao,Kila siku huondokesha vita.

3. Wamenoa ndimi zao kama nyoka,Sumu ya fira i chini ya midomo yao.

Zab. 140