8. Jua litawale mchana;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
9. Mwezi na nyota zitawale usiku;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
10. Yeye aliyewapiga Wamisri kwa kuwaua wazaliwa wa kwanza wao;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
11. Akawatoa Waisraeli katikati yao;Kwa maana fadhili zake ni za milele.