Zab. 136:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Jua litawale mchana;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

9. Mwezi na nyota zitawale usiku;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

10. Yeye aliyewapiga Wamisri kwa kuwaua wazaliwa wa kwanza wao;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

11. Akawatoa Waisraeli katikati yao;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Zab. 136