Zab. 136:22-25 Swahili Union Version (SUV)

22. Urithi wa Israeli mtumishi wake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

23. Aliyetukumbuka katika unyonge wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

24. Akatuokoa na watesi wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

25. Kila chenye mwili akipa chakula chake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Zab. 136