22. Urithi wa Israeli mtumishi wake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
23. Aliyetukumbuka katika unyonge wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
24. Akatuokoa na watesi wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
25. Kila chenye mwili akipa chakula chake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.