13. Ee BWANA, jina lako ni la milele,BWANA, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14. Kwa kuwa BWANA atawaamua watu wake,Atawahurumia watumishi wake.
15. Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya wanadamu.
16. Zina vinywa lakini hazisemi,Zina macho lakini hazioni,