10. Aliwapiga mataifa mengi,Akawaua wafalme wenye nguvu;
11. Sihoni, mfalme wa Waamori,Na Ogu, mfalme wa Bashani,Na falme zote za Kanaani.
12. Akaitoa nchi yao iwe urithi,Urithi wa Israeli watu wake.
13. Ee BWANA, jina lako ni la milele,BWANA, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.