Zab. 129:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Na waaibishwe, warudishwe nyuma,Wote wanaoichukia Sayuni.

6. Na wawe kama majani ya dariniYanyaukayo kabla hayajamea.

7. Ambayo mvunaji haujazi mkono wake,Wala mfunga miganda kifua chake.

Zab. 129