Zab. 119:72-74 Swahili Union Version (SUV)

72. Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu,Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.

73. Mikono yako ilinifanya ikanitengeneza,Unifahamishe nikajifunze maagizo yako.

74. Wakuchao na wanione na kufurahi,Kwa sababu nimelingojea neno lako.

Zab. 119