Zab. 119:61-63 Swahili Union Version (SUV)

61. Kamba za wasio haki zimenifunga,Sikuisahau sheria yako.

62. Katikati ya usiku nitaamka nikushukuru,Kwa sababu ya hukumu zako za haki.

63. Mimi ni mwenzao watu wote wakuchao,Na wale wayatiio mausia yako.

Zab. 119