6. BWANA yuko upande wangu, sitaogopa;Mwanadamu atanitenda nini?
7. BWANA yuko upande wangu, msaidizi wangu,Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
8. Ni heri kumkimbilia BWANAKuliko kuwatumainia wanadamu.
9. Ni heri kumkimbilia BWANA.Kuliko kuwatumainia wakuu.