13. Ulinisukuma sana ili nianguke;Lakini BWANA akanisaidia.
14. BWANA ni nguvu zangu na wimbo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.
15. Sauti ya furaha na wokovuImo hemani mwao wenye haki;Mkono wa kuume wa BWANA hutenda makuu.
16. Mkono wa kuume wa BWANA umetukuzwa;Mkono wa kuume wa BWANA hutenda makuu.
17. Sitakufa bali nitaishi,Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.
18. BWANA ameniadhibu sana,Lakini hakuniacha nife.