Zab. 115:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Na mbarikiwe ninyi na BWANA,Aliyezifanya mbingu na nchi.

16. Mbingu ni mbingu za BWANA,Bali nchi amewapa wanadamu.

17. Sio wafu wamsifuo BWANA,Wala wo wote washukao kwenye kimya;

Zab. 115