Zab. 115:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, kutukuza usitutukuze sisi,Bali ulitukuze jina lako,Kwa ajili ya fadhili zako,Kwa ajili ya uaminifu wako.

2. Kwa nini mataifa kusema,Yuko wapi Mungu wao?

Zab. 115