Zab. 110:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. BWANA ameapa,Wala hataghairi,Ndiwe kuhani hata milele,Kwa mfano wa Melkizedeki.

5. Bwana yu mkono wako wa kuume;Ataseta wafalme,Siku ya ghadhabu yake.

6. Atahukumu kati ya mataifa,Ataijaza nchi mizoga;Ataseta kichwa katika nchi nyingi.

Zab. 110