5. Wamenichukuza mabaya badala ya mema,Na chuki badala ya upendo wangu.
6. Uweke mtu mkorofi juu yake,Mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7. Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki,Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi.
8. Siku zake na ziwe chache,Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.