26. Ee BWANA, Mungu wangu, unisaidie,Uniokoe sawasawa na fadhili zako.
27. Nao wakajue ya kuwa ndio mkono wako;Wewe, BWANA, umeyafanya hayo.
28. Wao walaani, bali Wewe utabariki,Wameondoka wao wakaaibishwa,Bali mtumishi wako atafurahi.
29. Washitaki wangu watavikwa fedheha,Watajivika aibu yao kama joho.