Zab. 109:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Wazao wake waangamizwe,Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

14. Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za BWANA,Na dhambi ya mamaye isifutwe.

15. Ziwe mbele za BWANA daima,Aliondoe kumbukumbu lao duniani.

16. Kwa kuwa hakukumbuka kutenda fadhili,Bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,Hata akamfisha mtu aliyevunjika moyo,

Zab. 109