Zab. 106:40-42 Swahili Union Version (SUV)

40. Hasira ya BWANA ikawaka juu ya watu wake,Akauchukia urithi wake.

41. Akawatia mikononi mwa mataifa,Nao waliowachukia wakawatawala.

42. Adui zao wakawaonea,Wakatiishwa chini ya mkono wao.

Zab. 106