37. Naam, walitoa wana wao na binti zaoKuwa dhabihu kwa mashetani.
38. Wakamwaga damu isiyo na hatia,Damu ya wana wao na binti zao,Waliowatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;Nchi ikatiwa unajisi kwa damu.
39. Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao,Wakafanya uasherati kwa matendo yao.