Zab. 106:13-17 Swahili Union Version (SUV)

13. Wakayasahau matendo yake kwa haraka,Hawakulingojea shauri lake.

14. Bali walitamani sana jangwani,Wakamjaribu Mungu nyikani.

15. Akawapa walichomtaka,Akawakondesha roho zao.

16. Wakamhusudu Musa matuoni,Na Haruni, mtakatifu wa BWANA.

17. Nchi ikapasuka ikammeza Dathani,Ikaufunika mkutano wa Abiramu.

Zab. 106