Zab. 106:11-14 Swahili Union Version (SUV)

11. Maji yakawafunika watesi wao,Hakusalia hata mmoja wao.

12. Ndipo walipoyaamini maneno yake,Waliziimba sifa zake.

13. Wakayasahau matendo yake kwa haraka,Hawakulingojea shauri lake.

14. Bali walitamani sana jangwani,Wakamjaribu Mungu nyikani.

Zab. 106