Zab. 105:28-31 Swahili Union Version (SUV)

28. Alituma giza, kukafunga giza,Wala hawakuyaasi maneno yake.

29. Aliyageuza maji yao yakawa damu,Akawafisha samaki wao.

30. Nchi yao ilijaa vyura,Vyumbani mwa wafalme wao.

31. Alisema, kukaja makundi ya mainzi,Na chawa mipakani mwao mwote.

Zab. 105