Zab. 105:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake,Wajulisheni watu matendo yake.

2. Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi,Zitafakarini ajabu zake zote.

3. Jisifuni kwa jina lake takatifu,Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.

Zab. 105