Zab. 102:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Maana nimekula majivu kama chakula,Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.

10. Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira yako;Maana umeniinua na kunitupilia mbali.

11. Siku zangu zi kama kivuli kilichotandaa,Nami ninanyauka kama majani.

Zab. 102