26. na Mispa, na Kefira, na Moza;
27. na Rekemu, na Irpeeli, na Tarala;
28. na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi; miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.