21. Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,
22. na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;
23. na Avimu, na Para, na Ofra;
24. na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;