Yos. 18:21-24 Swahili Union Version (SUV)

21. Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,

22. na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;

23. na Avimu, na Para, na Ofra;

24. na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;

Yos. 18