Yos. 18:11 Swahili Union Version (SUV)

Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao; na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.

Yos. 18

Yos. 18:2-20