Yos. 16:5 Swahili Union Version (SUV)

Na mpaka wa wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao ulikuwa hivi; mpaka na urithi wao upande wa mashariki ulikuwa ni Ataroth-adari, hata Beth-horoni wa juu;

Yos. 16

Yos. 16:1-10