Yos. 15:55-63 Swahili Union Version (SUV)

55. Maoni, na Karmeli, na Zifu, na Yuta;

56. na Yezreeli, na Yokdeamu, na Zanoa;

57. na Kaini, na Gibea, na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake.

58. Halhuli, na Bethsuri, na Gedori;

59. na Maarathi, na Bethanothi, Eltekoni; miji sita, pamoja na vijiji vyake.

60. Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake.

61. Huko nyikani, Betharaba, na Midini, na Sekaka;

62. na Nibshani, na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.

63. Tena katika habari ya Wayebusi, hao wenye kukaa Yerusalemu, wana wa Yuda hawakuweza kuwatoa; lakini hao Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Yuda huko Yerusalemu hata hivi leo.

Yos. 15