Yos. 15:46-62 Swahili Union Version (SUV)

46. kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

47. Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.

48. Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;

49. na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri);

50. na Anabu, na Eshtemoa, na Animu;

51. na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.

52. Arabu, na Duma, na Eshani;

53. na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka;

54. na Humta, na Kiriath-arba (ndio Hebroni), na Siori; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.

55. Maoni, na Karmeli, na Zifu, na Yuta;

56. na Yezreeli, na Yokdeamu, na Zanoa;

57. na Kaini, na Gibea, na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake.

58. Halhuli, na Bethsuri, na Gedori;

59. na Maarathi, na Bethanothi, Eltekoni; miji sita, pamoja na vijiji vyake.

60. Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake.

61. Huko nyikani, Betharaba, na Midini, na Sekaka;

62. na Nibshani, na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.

Yos. 15