Yos. 15:41-53 Swahili Union Version (SUV)

41. na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

42. Libna, na Etheri, na Ashani;

43. na Yifta, na Ashna, na Nesibu;

44. na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.

45. Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;

46. kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

47. Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.

48. Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;

49. na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri);

50. na Anabu, na Eshtemoa, na Animu;

51. na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.

52. Arabu, na Duma, na Eshani;

53. na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka;

Yos. 15