Yos. 15:36-50 Swahili Union Version (SUV)

36. na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.

37. Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi;

38. na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli;

39. na Lakishi, na Boskathi, na Egloni;

40. na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi;

41. na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

42. Libna, na Etheri, na Ashani;

43. na Yifta, na Ashna, na Nesibu;

44. na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.

45. Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;

46. kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

47. Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.

48. Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;

49. na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri);

50. na Anabu, na Eshtemoa, na Animu;

Yos. 15