36. na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.
37. Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi;
38. na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli;
39. na Lakishi, na Boskathi, na Egloni;
40. na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi;
41. na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
42. Libna, na Etheri, na Ashani;
43. na Yifta, na Ashna, na Nesibu;
44. na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.
45. Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;
46. kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.
47. Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.
48. Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;
49. na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri);
50. na Anabu, na Eshtemoa, na Animu;