Yos. 15:32-52 Swahili Union Version (SUV)

32. na Lebaothi, na Shilhimu, na Aini, na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na kenda, pamoja na vijiji vyake.

33. Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, na Sora, na Ashna,

34. na Zanoa, na Enganimu, na Tapua, na Enamu;

35. na Yarmuthi, na Adulamu, na Soko, na Azeka;

36. na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.

37. Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi;

38. na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli;

39. na Lakishi, na Boskathi, na Egloni;

40. na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi;

41. na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

42. Libna, na Etheri, na Ashani;

43. na Yifta, na Ashna, na Nesibu;

44. na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.

45. Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;

46. kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

47. Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.

48. Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;

49. na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri);

50. na Anabu, na Eshtemoa, na Animu;

51. na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.

52. Arabu, na Duma, na Eshani;

Yos. 15