21. Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri;
22. na Kina, na Dimona, na Adada;
23. na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani;
24. na Zifu, na Telemu, na Bealothi;
25. na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);
26. na Amamu, na Shema, na Molada;
27. na Hasar-gada, na Heshmoni, na Bethpeleti;
28. na Hasarshuali, na Beer-sheba, na Biziothia;
29. na Baala, na Iyimu, na Esemu;