21. Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri;
22. na Kina, na Dimona, na Adada;
23. na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani;
24. na Zifu, na Telemu, na Bealothi;
25. na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);
26. na Amamu, na Shema, na Molada;