21. mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;
22. na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;
23. mfalme wa Dori katika kilima cha Dori, mmoja; na mfalme wa makabila katika Gilgali, mmoja;
24. na mfalme wa Tirsa, mmoja; wafalme hao wote walikuwa ni thelathini na mmoja.