Yos. 12:14-23 Swahili Union Version (SUV)

14. mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;

15. mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;

16. mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;

17. mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;

18. mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;

19. mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;

20. mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;

21. mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;

22. na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;

23. mfalme wa Dori katika kilima cha Dori, mmoja; na mfalme wa makabila katika Gilgali, mmoja;

Yos. 12